Monday, 12 September 2016

Rais Magufuli ameahirisha ziara yake

Rais Magufuli ameahirisha ziara yake ya kesho nchini Zambia ili ashughulikie tatizo la tetemeko la ardhi lililosababisha vifo vya watu 16 mkoani Kagera.
- Atawakilishwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu kwenye tukio la kuapishwa kwa Rais Mteule Edgar Lungu.

No comments:

Post a Comment