Rais
Magufuli ameahirisha ziara yake ya kesho nchini Zambia ili ashughulikie
tatizo la tetemeko la ardhi lililosababisha vifo vya watu 16 mkoani
Kagera.
- Atawakilishwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu kwenye tukio la kuapishwa kwa Rais Mteule Edgar Lungu.
- Atawakilishwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu kwenye tukio la kuapishwa kwa Rais Mteule Edgar Lungu.